Shukrani

 

Warsha ya Kukusanya Maneno Mengi Katika Lugha ya Kiikizu-Kisizaki ilifanyika Nyamuswa, Mara, Tanzania tarehe 16 hadi 27 ya Januari mwaka wa 2017. Siku tatu za mafunzo zilitokea kabla ya warsha yenyewe. Kazi za kila mshiriki zimefafanuliwa mwishoni mwa ukurasa huu. Watu wafuatao walishiriki katika warsha:

 

John B. Walker, Mtaalamu wa Mambo ya Kamusi

Andrew Joseph Makaza, Meneja Mkuu

Rukia Manyori Mase, Meneja wa Uendeshaji

 

Wenyekiti wa Vikundi:

Juma K Gobirara

Songora Sasura

Ng’eng’e Karando Mokeka

Amosi M Nyarari

Joseph M Marara

Yakobo Kiraguri

 

Makatibu wa Vikundi:

Rhoda Ngese Emanuel

Mwasi B Mong’ateko

Daudi Chazenga Sigera

Matwiga Muga

Michael Shija Daudi

Herry E Kisama

 

Wajumbe wa Vikundi:

Samwel M Kihiri

Fatuma Adamu Giraruma

Rahel C Daudi

Mwirwazi Myingo Magwata

John Joseph Kiryanyama

Tatu Fanuel Magambo

Hasani Mabhi

Simba M Karando

Ketera Songe Ketera

Saba2 M Mgendi

Ester Hazi

Zawadi Bita

 

Makarani:

Leonard Sirunga Sirikare

Masalu Tambalike

Wasato J Mbisso

Ismael Waryoba

Frank Watson Mwaluanda

Hazel Gray

 

Watafsiri:

Isaka Kegeso Mtiro

Kishoko Manyori Mase

Makutano Mbeho Waryoba

Martha Mgaya Mataso

Gilbert R. Kezeta

Joseph M. Mbisso

 

Meneja Mkuu – kupanga kwa warsha na kuhakikisha mafanikio yake

Meneja wa Uendeshaji – kuhakikisha kwamba shughuli za warsha zinaendelea bila shida yoyote

Mwenyekiti – kuongoza kikundi na kueleza mambo kuhusu maswali juu ya maeneo yote ya maana

Katibu – kuandika kila neno la kilugha linalotajwa na kikundi

Mjumbe – kusaidia kutaja maneno ya kilugha katika kila eneo la maana

Karani – kuingiza kila neno na tafsiri yake katika kompyuta

Mtafsiri – kutafsiri kila neno la kilugha kwenye lugha ya Kiswahili