Alfabeti ya Kikabwa

 

Kuna herufi 27 katika alfabeti ya Kikabwa, kama zifuatazo:

 

a  b  bh  ch  d  e  f  g  h  i  j  k  m  n  ng'  ny  o  p  r  s  sh  t  u  v  w  y  z

 

Sehemu ya kamusi iliyo na maneno ya Kikabwa kwenda kwenye Kiswahili na Kiingereza inafuata mpangilio wa herufi kama ulioonyeshwa hapo juu.