Shukrani

 

Warsha ya Kukusanya Maneno Mengi Katika Lugha ya Kikabwa ilifanyika Mmazami (Makutano), Mara, Tanzania tarehe 8 hadi 19 ya Juni mwaka wa 2015. Siku tatu za mafunzo zilitokea kabla ya warsha yenyewe. Kazi za kila mshiriki zimefafanuliwa mwishoni mwa ukurasa huu. Watu wafuatao walishiriki katika warsha:

 

John B. Walker, Mtaalamu wa Mambo ya Kamusi

Oliver Stegen, Mtaalamu Msaidizi

Stiphin Mugasa Oyoga, Meneja Mkuu

Richard Kigi Nyamaru, Meneja wa Uendeshaji

 

Wenyekiti wa Vikundi:

Willium Joseph Jongore

Joseph Mkurya Masegenya

Yakobo Wambura Mrusha

Raphael Matiku Makangara

Raphael Ebasu Masige

Evance Kwambira Mkobo

 

Makatibu wa Vikundi:

Moshi Charles James

Ester Evance Mkobo

Yohana Charles Maiga

Petro Marasi Kode

John Nyemaga Nyabitwano

Joseph Mabengo Watirya

 

Wajumbe wa Vikundi:

Paul Magesa Mkaka

Jacson Manyama Orendi

Daudi Michael Marwa

Joseph Nyabori Onyango

Lucia Ng’anga Gare

Mabau Openda Nyankerenge

Benadeta Kasorogo Somba

Magesa Jeremia Ogada

Laurent Oyoga Mugasa

Magesa Mbago Kasobe

Elizabeti Wankyo Marira

Sarah Mnyerwe Magesa

 

Makarani:

Sasi Mabere Masanje

Anthon Juma Nyamuhanga

Ronit Odom

Michiel Louter

Rebekah Overton

John Raphael Masige

 

Watafsiri:

Nkomanji King'anye Mtanke

Charles Segeru Tahinye

Boniface Muyanga Miriro

Juma Gazeti Kinene

Maria Nyangi Manumbu

Charles Masatu Sasi

 

Meneja Mkuu – kupanga kwa warsha na kuhakikisha mafanikio yake

Meneja wa Uendeshaji – kuhakikisha kwamba shughuli za warsha zinaendelea bila shida yoyote

Mwenyekiti – kuongoza kikundi na kueleza mambo kuhusu maswali juu ya maeneo yote ya maana

Katibu – kuandika kila neno la kilugha linalotajwa na kikundi

Mjumbe – kusaidia kutaja maneno ya kilugha katika kila eneo la maana

Karani – kuingiza kila neno na tafsiri yake katika kompyuta

Mtafsiri – kutafsiri kila neno la kilugha kwenye lugha ya Kiswahili